Matokeo ya darasa la saba 2019 - NECTA PSLE Results 2019

Matokeo ya darasa la saba mwaka 2019 - PSLE Results 2019/2020 

Matokeo ya darasa la saba 2019/2020

Matokeo darasa la saba mwaka 2019


Ni Nani Ataongoza Mwaka Huu 2019 Katika Matokeo Ya Mtihani Wa Darasa La Saba? Sasa Ni wazi aliyeongoza si mwingine bali ni Grace Imori Manga wa wa shule ya msingi Graiyaki ya mkoani Mara na Mwaka Jana Alikuwa Ndemezo Rutanikwa Kutoka Shule Ya Kadama Mkoa Wa Geita. Tutakujuza Yote Kwenye Ukurasa Huu Wa Matokeo La Saba. Tazama kwenda chini kuangalia watahiniwa kumi (10) Bora kitaifa.


MPANGILIO WA MIKOA KWA UBORA WA UFAULU MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2019


SASA NI RASMI MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2019 YAMETANGAZWA NA NECTA

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa darasa la saba ya mwaka 2019. Ufaulu umeongezaka kwa asilimia 3.78 ikilinganishwa na mwaka 2018, Shule msingi Graiyaki ya mkoani Mara ndiyo shule bora kitaifa na wanafunzi wake watano wameingia kumi bora. Asilimia 81.50 ya watahiniwa 933,369 wamefaulu mtihani huo huku watahiniwa 909 wakifutiwa matokeo kwa sababu ya udanganyifu.

MWANAFUNZI BORA KATIKA MTIHANI WA DARASA LA SABA MWAKA 2019


Watahiniwa Kumi (10) Bora Kitaifa - Matokeo la saba 2019
  1. Grace Imori Manga wa shule ya msingi Graiyaki ya mkoani Mara
  2. Francis Gwani wa shule ya msingi Paradise ya mkoani Geita
  3. Loi Kitundu wa Shule ya msingi Mbezi ya Dar es Salaam.
  4. Victor Godfrey wa shule ya msingi Graiyaki,
  5. Azizi Yassin wa Graiyaki 
  6. Goldie Hhayuma wa Graiyaki,
  7. Daniel Daniel wa shule ya msingi Little Mkoani Shinyanga,
  8. Hilary Nassor wa Peaceland ya Mwanza,
  9. Mbelele Mbelele wa Kwema Modern ya Shinyanga
  10. Nyanswi Richard wa Graiyaki ya Mara

Shule Kumi (10) Bora Kitaifa - PSLE NECTA Results 2019

  1. Graiyaki ya Mara
  2. Twibhoki ya Mara
  3. Kemebos ya Kagera
  4. Little Treasures ya Shinyanga
  5. Musabe ya Mwanza
  6. Tulele ya Mwanza
  7.  Kwema Morden ya Shinyanga
  8. Peaceland ya Mwanza
  9. Mugini ya Mwanza na
  10. Rocken Hill ya Shinyanga

ORODHA YA MAJINA YA WALIOFANYA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2019


Wahitimu wa darasa la saba waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2019 - Fanyeni Maandalizi Mapema ya Kuwapokea Kidato cha Kwanza Ifikapo Janueari 2019

Serikali imeziagiza Mamlaka za Serikali za Mitaa na Mikoa kujipanga na suala la ongezeko la wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza mwaka 2019.


Kauli hiyo ya Serikali imetolewa na Tixon Nzunda Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (ELIMU) wakati akiwa ziarani katika halmashauri za Ikungi na Manyoni mkoani Singida kuwa mikoa na halmashauri zote zihakikishe zinaandaa mazingira wezeshi ili wanafunzi wote waliofaulu kuingia kidato cha kwanza waweze kuanza masomo ifikapo mwezi januari 2019.


Nzunda amesema kuwa sio lazima viongozi wa Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kusubiri mpaka viongozi wa juu kama Mheshimiwa Rais, kuingilia kati na kuagiza suala kama hili la madarasa na madawati



Matokeo ya darasa la saba 2019 necta

PSLE NECTA PAST PAPERS - STD SEVEN PAST PAPERS FOR REVISION

MPANGILIO KWA UBORA WA UFAULU KATIKA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2018

Watahiniwa Kumi (10) Bora Kitaifa - Matokeo la saba 2018/2019 

NA. JINA SHULE
1. NDEMEZO RUTAKWA LUBONANKEBE - MKOA WA GEITA KADAMA
2. INNOCENT PAUL SELELI - MKOA WA MOROGORO CARMEL
3. GIVEN COSMAS MALWANGO - MKOA WA ARUSHA TUMAINI JUNIOR
4. DIOMEDES JAMES MBOGO- MKOA WA KAGERA ST. ACHLEUS KIWANUKA
5. SWEETBERT JOSEPH JOHN - MKOA WA SHINYANGA MINGAS
6. NAJMA MUNA MANJI - MKOA WA MWANZA NYAMUGE
7. BEATRICE BARAKA JEREMIAH - MKOA WA MARA MAPINDUZI B
8. MOHAMED ABDIRAHMAN MOHAMED - MKOA WA TANGA RASKAZONE
9. LUQMAN SULTAL ALLY - MKOA WA TANGA RASKAZONE
10. FRANCISCO ALPHONCE MAIGA - MKOA WA GEITA KADAMA

Wavulana Kumi (10) Bora Kitaifa - PSLE Results 2018/2019

NA. JINA SHULE
1. NDEMEZO RUTAKWA LUBONANKEBE - MKOA WA GEITA KADAMA
2. INNOCENT PAUL SELELI - MKOA WA MOROGORO CARMEL
3. DIOMEDES JAMES MBOGO - MKOA WA KAGERA ST. ACHLEUS KIWANUKA
4. SWEETBERT JOSEPH JOHN - MKOA WA SHINYANGA MINGAS
5. MOHAMED ABDIRAHMAN MOHAMED - MKOA WA TANGA RASKAZONE
6. LUQMAN SULTAL ALLY - MKOA WA TANGA RASKAZONE
7. FRANCISCO ALPHONCE MAIGA - MKOA WA GEITA KADAMA
8. MASOUD SALEHE KITOBOLI - MKOA WA TABORA ZUGIMLOLE
9. AMON HAGAI JARED - MKOA WA DAR ES SALAAM TUSIME
10. ELIAH EXAVERY INONGU -MKOA WA  MWANZA MZIGU

Wasichana Kumi (10) Bora Kitaifa - Matokeo ya darasa la saba mwaka 2018/2019

NA. JINA SHULE
1. GIVEN COSMAS MALWANGO - MKOA WA ARUSHA TUMAINI JUNIOR
2. NAJMA MUNA MANJI - MKOA WA MWANZA NYAMUNGE
3. BEATRICE BARAKA JEREMIAH - MKOA WA MARA MAPINDUZI B
4. HAMISA ALLY KASELE -MKOA WA  DAR ES SALAAM TUSIME
5. KAREEN CHARLES GABRIEL - MKOA WA DAR ES SALAAM TUSIME
6. ROSE COSMAS SAMSON - MKOA WA MWANZA NYAMUNGE 
7. RAHMA JUMA SHAABAN - MKOA WA DAR ES SALAAM FOUNTAIN GATE
8. ASHURA WILLY MEMBA - MKOA WA DAR ES SALAAM HAVARD
9. CAREEN EMANUEL PALLAGYO - MKOA WA DODOMA MARTIN LUTHER
10. MERLYN GODSON MOLLEL- MKOA WA ARUSHA GREEN ACRES

Shule Kumi (10) Bora Kitaifa - PSLE NECTA Results 2018/2019

JINA LA SHULE IDADI NAFASI
RASKAZONE -MKOA WA  TANGA 55 1
NYAMUNGE - MKOA WA MWANZA 114 2
TWIBHOKI - MKOA WA MARA 71 3
KWEMA MODERN - MKOA WA SHINYANGA 45 4
ROCKEN HILL - MKOA WA SHINYANGA 50 5
ST. ANNE MARIE - MKOA WA DAR ES SALAAM 59 6
JKIBIRA - MKOA WA KAGERA 70 7
ST. ACHILEUS KIWANUKA - MKOA WA KAGERA 76 8
ST. SEVERINE - MKOA WA KAGERA 65 9
RWEIKIZA - MKOA WA KAGERA 120 10

Shule Kumi (10) Ambazo Hazikufanya Vizuri

JINA LA SHULE IDADI NAFASI
MANGIKA - MKOA WA TANGA 62 1
MWAZIZI - MKOA WA TABORA 42 2
ISEBANDA - MKOA WA SIMIYU 56 3
MALAGANO - MKOA WA TABORA 52 4
MAGANA - MKOA WA MARA 84 5
KODODO -MKOA WA  MOROGORO 69 6
MTINDILI - MKOA WA TANGA 92 7
LUMALU - MKOA WA RUVUMA 41 8
CHIDETE - MKOA WA DODOMA 37 9
MAVULUI - MKOA WA TANGA 93 10

Ratiba ya mtihani wa darasa la saba 2019


MATOKEO YA MITIANI MINGINE