TIMETABLE DARASA LA SABA 2017 - RATIBA YA DARASA LA SABA 2017 - NECTA PSLE 2017 TIMETABLE

PSLE 2017 EXAM TIMETABLE - TIMITABLE DARASA LA SABA 2017

NECTA PSLE 2017 TIMETABLE.pdf

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA

RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI

PRIMARY SCHOOL LEAVING EXAMINATION TIMETABLE  SEPTEMBA 2017

Matokeo ya darasa la saba 2017/2018 

Shule Bora Tanzania - TOP 10 Best Secondary Schools In Tanzania - New Update

HOW TO STUDY FOR EXAMS

Standard Seven Exams Past papers (PSLE) - NECTA - New Updates

TAREHE NA SIKU  MUDA (SAA) NAMBA MFICHO     SOMO
06.09.2017
JUMATANO
2:00 – 3:30 02 ENGLISH LANGUAGE 
3:30 – 4:30
MAPUAMZIKO
4:30 – 6:30 04
04E 
HISABATI
MATHEMATICS 
6:30 – 8:30
6:30 – 8:30
8:30 – 10:00 03
03E
MAARIFA YA JAMII
SOCIAL STUDIES




07.09.2017
ALHAMISI
2:00 – 3:30 05
05E
SAYANSI
SCIENCE
3:30 – 4:30
MAPUMZIKO
4:30 – 6:00 01 KISWAHILI

Biology Lessons & Notes - FORMS I, II, III, IV

Mtihani Wa Darasa La Saba Wa Taifa 2017/2018 - New Updates

PSLE 2017 EXAM TIMETABLE - TIMITABLE DARASA LA SABA 2017

MAELEKEZO MUHIMU
  1. Hakikisha kuwa unayo Ratiba ya Mtihani ya mwaka 2017 iliyoandaliwa na Baraza la Mitihani la Tanzania. 
  2. Kabla ya kufungua bahasha yoyote yenye maswali ya mtihani,  hakikisha kwamba unasoma jina la somo juu ya bahasha husika na kujihakikishia kuwa somo hilo ndilo linalostahili kufanyika wakati huo kulingana na Ratiba ya Mtihani.
  3. Endapo utata utajitokeza kati ya maelekezo yaliyomo ndani ya Karatasi ya Mtihani na Ratiba ya Mtihani, maelekezo yaliyomo katika karatasi ya mtihani husika ndiyo yatakayofuatwa.
  4. Watahiniwa WASIOONA na wale wenye UONI HAFIFU waongezewe MUDA WA ZIADA WA DAKIKA 10 KWA KILA SAA kwa mtihani wa Kiswahili, English Language, Maarifa ya Jamii na Sayansi.
  5. Watahiniwa WASIOONA na wale wenye UONI HAFIFU waongezewe MUDA WA ZIADA WA DAKIKA 20 KWA KILA SAA kwa mtihani wa Hisabati.
  6. Msimamizi wa watahiniwa WASIOONA awe mtaalamu mwaminifu aliye na uwezo wa kusoma maandishi na alama za ‘Braille’.
  7. Watahiniwa wenye UONI HAFIFU wapewe karatasi za mtihani na za kujibia zenye maandishi yaliyokuzwa, zilizoandaliwa na Baraza la Mitihani la Tanzania kwa matumizi yao.
  8. Karatasi zenye majibu ya watahiniwa wenye UONI HAFIFU zifungwe kwenye bahasha za pekee. Zisichanganywe na karatasi za watahiniwa wenye Uoni wa kawaida.  

Exam Day Preparation - what to do on the day of exams.

Mtihani Wa Darasa La Saba Wa Taifa 2017

Pata Matokeo Yote Ya Mitihani - One Spot For All The Examination Results- New Updates (Kidato cha sita, Kidato cha Nne, Kidato cha Pili,Darasa la Saba na Darasa la Nne)

 

HOW DO TOP STUDENTS STUDY? - PART II


Shule Zilizofanya Udanganyifu Kwenye Mtihani wa Darasa la 7  2016

 

TOP 10 BEST SCHOOLS & CANDIDATES IN STD 7 2016 NECTA EXAMS.

Matokeo ya darasa la saba 2017

Matokeo ya darasa la saba 2017 /2018