TIMITABLE DARASA LA NNE 2017 - NECTA - SFNA 2017 EXAM TIMETABLE

SFNA 2017 EXAM TIMETABLE - TIMITABLE DARASA LA NNE 2017

NECTA SFNA 2017 TIMETABLE.pdf

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA - NECTA

RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE - (STANDARD FOUR NATIONAL ASSESSMENT-SFNA) NOVEMBA 2017  

Shule Bora Tanzania - TOP 10 Best Secondary Schools In Tanzania - New Update

Standard Seven Exams Past papers (PSLE) - NECTA - New Updates

 

TAREHE NA SIKU  MUDA (SAA) NAMBA MFICHO     SOMO




22.11.2017
JUMATANO 
2:00 – 3:00   02  ENGLISH LANGUAGE 
3:00 – 4:00 
MAPUMZIKO 
4:00 – 5:30  04
04E 
HISABATI
MATHEMATICS 
6:30 – 8:30
6:30 – 8:30
5:30 – 7:30  MAPUMZIKO 
7:30 – 8:30 05
05E
SAYANSI
SCIENCE




23.11.2017
ALHAMISI 
2:00 – 3:00  01  KISWAHILI 
3:00 – 4:00 
MAPUMZIKO 
4:00 – 5:00  03
03E 
MAARIFA YA JAMII
SOCIAL STUDIES 
5:00 – 7:00 
MAPUMZIKO
7:00 – 8:00 06
06E
STADI ZA KAZI, HAIBA NA MICHEZO
VOCATIONAL SKILLS, PERSONALITY DEVELOPMENT  AND SPORTS
8:00 – 9:00
MAPUMZIKO
9:00 – 10:00 07
07E
TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO (TEHAMA)
INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY (ICT)

SFNA 2017 EXAM TIMETABLE - TIMITABLE DARASA LA NNE 2017

MAELEKEZO MUHIMU - Darasa la nne timetable 2017

  1. Hakikisha kuwa unayo Ratiba ya Upimaji wa mwaka 2017 iliyoandaliwa na Baraza la Mitihani la Tanzania.  
  2. Kabla ya kufungua bahasha yoyote yenye maswali ya upimaji,  hakikisha kwamba unasoma jina la somo juu ya bahasha husika na kujihakikishia kuwa somo hilo ndilo linalostahili kufanyika wakati huo kulingana na Ratiba ya Upimaji.
  3. Endapo utata utajitokeza kati ya maelekezo yaliyomo ndani ya Karatasi ya Upimaji na Ratiba ya Upimaji, maelekezo yaliyomo katika karatasi ya upimaji husika ndiyo yatakayofuatwa.
  4. Watahiniwa WASIOONA na wale wenye UONI HAFIFU waongezewe MUDA WA ZIADA WA DAKIKA 10 KWA KILA SAA kwa upimaji wote isipokuwa  DAKIKA 20 KWA KILA SAA  kwa somo la Hisabati.
  5. Msimamizi wa watahiniwa WASIOONA awe mtaalamu mwaminifu aliye na uwezo wa kusoma maandishi na alama za ‘Braille’.
  6. Watahiniwa wenye UONI HAFIFU wapewe karatasi za upimaji na za kujibia zenye maandishi yaliyokuzwa, zilizoandaliwa na Baraza la Mitihani la Tanzania kwa matumizi yao.
  7. Karatasi zenye majibu ya watahiniwa wenye UONI HAFIFU zifungwe kwenye bahasha za pekee. Zisichanganywe na karatasi za watahiniwa wenye Uoni wa kawaida.  
  8. Watahiniwa waelekezwe;
  • Kuingia ndani ya chumba cha upimaji nusu saa kabla ya muda  wa upimaji na watakaochelewa kwa zaidi ya nusu saa baada ya upimaji kuanza hawataruhusiwa.
  • Kufuata maelekezo yote yatakayotolewa na wasimamizi wa upimaji.
  • Kuandika jina kamili na namba ya upimaji kwa usahihi.
  • Kutofanya mawasiliano ya maneno au kwa njia yoyote baina ya watahiniwa. Ikiwa mtahiniwa ana tatizo anatakiwa kunyoosha mkono ili kuomba msaada kwa msimamizi wa upimaji.
  • Wakijihusisha katika udanganyifu watafutiwa matokeo yao ya upimaji.

Exam Day Preparation - what to do on the day of exams.

Pata Matokeo Yote Ya Mitihani - One Spot For All The Examination Results- New Updates (Kidato cha sita, Kidato cha Nne, Kidato cha Pili,Darasa la Saba na Darasa la Nne)

 

Biology Lessons & Notes - FORMS I, II, III, IV

 

 

HOW DO TOP STUDENTS STUDY? - PART II


Shule Zilizofanya Udanganyifu Kwenye Mtihani wa Darasa la 7  2016

 

TOP 10 BEST SCHOOLS & CANDIDATES IN STD 7 2016 NECTA EXAMS.