MATOKEO YA DARASA LA SABA KUMI BORA KITAIFA

Kumi bora kitaifa matokeo ya mtihani darasa la Saba mwaka 2020

“Watahiniwa hawa bora kitaifa ni wale ambao wamepata alama nyingi zaidi kuliko wenzao kwenye masomo matano waliyotahiniwa, ambapo pia kuna mchanganuo kwa wasichana 10 bora, wavulana 10 bora,” alisema Dk Msonde.

ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGIWA KWENYE VITUO NOVEMBER 2020


  1. Herrieth Japhet Josephat - Graiyaki iliyopo mkoani Mara. Herrieth anakuwa msichana pekee kati ya watahiniwa 10 bora kitaifa.

  2. Huma Masala Huma - Kwema Morden mkoani Shinyanga.

  3. Gregory Mtete Alphonce - Twibhoki mkoa wa Mara.

  4. Nyambina Musa Nyambina - Graiyaki iliyopo Mara pia.

  5. Elias Mabula - Kwema Morden mkoa wa Shinganya.

  6. Jonas Nyamataga Ayubu - Little Flower mkoani Mara.

  7. Emmanuel Kashinje Paul - Kwema Morden mkoa wa Shinyanga,

  8. Emmanuel Peter Marwa - Kwema Morden mkoa wa Shinyanga.

  9. Prosper Aspenas Tumbo - God’s Bridge mkoa wa Mbeya.

  10. Yesaya Mnkondo Bendera - God’s Bridge ya jijini Mbeya.

NECTA PAST PAPERS ZA DARASA LA SABA (MASWALI NA MAJIBU)

Aliyeongoza kumi bora Darasa la Saba 2020 (Harieth Joseph)


“Likizo ya Corona niliitumia vizuri kusoma, maana matokeo ya mwaka jana ambayo Grace Imori alikuwa malkia wa nguvu yalinitia moyo ikizingatiwa kuwa alikuwa rafiki yangu,” ni maneno ya Herieth Josephat.

Amesema hakupoteza vipindi vyote vilivyopangwa na walimu, na wazazi wake walimwelewa nia yake wakampa nafasi ya kusoma.

“Nilimuahidi mama yangu kuwa nitakuwa Tanzania One kwa kuwa nilijua ninaweza kutokana na malengo yangu, walimu na maombi kwa Mungu. Aliyeongoza mwaka jana alikuwa rafiki yangu, nilimuahidi nami nafuata nyayo zake leo yametimia,” amesema Herieth alipozungumza leo Jumamosi Novemba 21, 2020 baada ya matokeo kutangazwa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) nchini Tanzania.

Amesema kutokana na mikakati ya shule ya kuwa na mazoezi ya mara kwa mara kwa watahiniwa wote darasani,  alitegemea kufanya vizuri kwa kuwa wasichana na wavulana walikuwa na ushindani mkubwa.

NECTA PAST PAPERS ZA KIDATO CHA NNE (FORM FOUR MASWALI NA MAJIBU)

MWANAFUNZI BORA KATIKA MTIHANI WA DARASA LA SABA MWAKA 2019


Watahiniwa Kumi (10) Bora Kitaifa - Matokeo la saba 2019
  1. Grace Imori Manga wa shule ya msingi Graiyaki ya mkoani Mara
  2. Francis Gwani wa shule ya msingi Paradise ya mkoani Geita
  3. Loi Kitundu wa Shule ya msingi Mbezi ya Dar es Salaam.
  4. Victor Godfrey wa shule ya msingi Graiyaki,
  5. Azizi Yassin wa Graiyaki 
  6. Goldie Hhayuma wa Graiyaki,
  7. Daniel Daniel wa shule ya msingi Little Mkoani Shinyanga,
  8. Hilary Nassor wa Peaceland ya Mwanza,
  9. Mbelele Mbelele wa Kwema Modern ya Shinyanga
  10. Nyanswi Richard wa Graiyaki ya Mara

Shule Kumi (10) Bora Kitaifa - PSLE NECTA Results 2019

  1. Graiyaki ya Mara
  2. Twibhoki ya Mara
  3. Kemebos ya Kagera
  4. Little Treasures ya Shinyanga
  5. Musabe ya Mwanza
  6. Tulele ya Mwanza
  7.  Kwema Morden ya Shinyanga
  8. Peaceland ya Mwanza
  9. Mugini ya Mwanza na
  10. Rocken Hill ya Shinyanga

ORODHA YA MAJINA YA WALIOFANYA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2019


Wahitimu wa darasa la saba waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2019 - Fanyeni Maandalizi Mapema ya Kuwapokea Kidato cha Kwanza Ifikapo Janueari 2019

Serikali imeziagiza Mamlaka za Serikali za Mitaa na Mikoa kujipanga na suala la ongezeko la wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza mwaka 2019.


Kauli hiyo ya Serikali imetolewa na Tixon Nzunda Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI (ELIMU) wakati akiwa ziarani katika halmashauri za Ikungi na Manyoni mkoani Singida kuwa mikoa na halmashauri zote zihakikishe zinaandaa mazingira wezeshi ili wanafunzi wote waliofaulu kuingia kidato cha kwanza waweze kuanza masomo ifikapo mwezi januari 2019.


Nzunda amesema kuwa sio lazima viongozi wa Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kusubiri mpaka viongozi wa juu kama Mheshimiwa Rais, kuingilia kati na kuagiza suala kama hili la madarasa na madawati



Matokeo ya darasa la saba 2019 necta

PSLE NECTA PAST PAPERS - STD SEVEN PAST PAPERS FOR REVISION

MPANGILIO KWA UBORA WA UFAULU KATIKA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2018

Watahiniwa Kumi (10) Bora Kitaifa - Matokeo la saba 2018/2019 

NA.JINASHULE
1.NDEMEZO RUTAKWA LUBONANKEBE - MKOA WA GEITAKADAMA
2.INNOCENT PAUL SELELI - MKOA WA MOROGOROCARMEL
3.GIVEN COSMAS MALWANGO - MKOA WA ARUSHATUMAINI JUNIOR
4.DIOMEDES JAMES MBOGO- MKOA WA KAGERAST. ACHLEUS KIWANUKA
5.SWEETBERT JOSEPH JOHN - MKOA WA SHINYANGAMINGAS
6.NAJMA MUNA MANJI - MKOA WA MWANZANYAMUGE
7.BEATRICE BARAKA JEREMIAH - MKOA WA MARAMAPINDUZI B
8.MOHAMED ABDIRAHMAN MOHAMED - MKOA WA TANGARASKAZONE
9.LUQMAN SULTAL ALLY - MKOA WA TANGARASKAZONE
10.FRANCISCO ALPHONCE MAIGA - MKOA WA GEITAKADAMA

Wavulana Kumi (10) Bora Kitaifa - PSLE Results 2018/2019

NA.JINASHULE
1.NDEMEZO RUTAKWA LUBONANKEBE - MKOA WA GEITAKADAMA
2.INNOCENT PAUL SELELI - MKOA WA MOROGOROCARMEL
3.DIOMEDES JAMES MBOGO - MKOA WA KAGERAST. ACHLEUS KIWANUKA
4.SWEETBERT JOSEPH JOHN - MKOA WA SHINYANGAMINGAS
5.MOHAMED ABDIRAHMAN MOHAMED - MKOA WA TANGARASKAZONE
6.LUQMAN SULTAL ALLY - MKOA WA TANGARASKAZONE
7.FRANCISCO ALPHONCE MAIGA - MKOA WA GEITAKADAMA
8.MASOUD SALEHE KITOBOLI - MKOA WA TABORAZUGIMLOLE
9.AMON HAGAI JARED - MKOA WA DAR ES SALAAMTUSIME
10.ELIAH EXAVERY INONGU -MKOA WA  MWANZAMZIGU

Wasichana Kumi (10) Bora Kitaifa - Matokeo ya darasa la saba mwaka 2018/2019

NA.JINASHULE
1.GIVEN COSMAS MALWANGO - MKOA WA ARUSHATUMAINI JUNIOR
2.NAJMA MUNA MANJI - MKOA WA MWANZANYAMUNGE
3.BEATRICE BARAKA JEREMIAH - MKOA WA MARAMAPINDUZI B
4.HAMISA ALLY KASELE -MKOA WA  DAR ES SALAAMTUSIME
5.KAREEN CHARLES GABRIEL - MKOA WA DAR ES SALAAMTUSIME
6.ROSE COSMAS SAMSON - MKOA WA MWANZANYAMUNGE 
7.RAHMA JUMA SHAABAN - MKOA WA DAR ES SALAAMFOUNTAIN GATE
8.ASHURA WILLY MEMBA - MKOA WA DAR ES SALAAMHAVARD
9.CAREEN EMANUEL PALLAGYO - MKOA WA DODOMAMARTIN LUTHER
10.MERLYN GODSON MOLLEL- MKOA WA ARUSHAGREEN ACRES

Shule Kumi (10) Bora Kitaifa - PSLE NECTA Results 2018/2019

JINA LA SHULEIDADINAFASI
RASKAZONE -MKOA WA  TANGA551
NYAMUNGE - MKOA WA MWANZA1142
TWIBHOKI - MKOA WA MARA713
KWEMA MODERN - MKOA WA SHINYANGA454
ROCKEN HILL - MKOA WA SHINYANGA505
ST. ANNE MARIE - MKOA WA DAR ES SALAAM596
JKIBIRA - MKOA WA KAGERA707
ST. ACHILEUS KIWANUKA - MKOA WA KAGERA768
ST. SEVERINE - MKOA WA KAGERA659
RWEIKIZA - MKOA WA KAGERA12010

Shule Kumi (10) Ambazo Hazikufanya Vizuri

JINA LA SHULEIDADINAFASI
MANGIKA - MKOA WA TANGA621
MWAZIZI - MKOA WA TABORA422
ISEBANDA - MKOA WA SIMIYU563
MALAGANO - MKOA WA TABORA524
MAGANA - MKOA WA MARA845
KODODO -MKOA WA  MOROGORO696
MTINDILI - MKOA WA TANGA927
LUMALU - MKOA WA RUVUMA418
CHIDETE - MKOA WA DODOMA379
MAVULUI - MKOA WA TANGA9310

Ratiba ya mtihani wa darasa la saba 2019


MATOKEO YA MITIANI MINGINE