MATOKEO YA DARASA LA NNE 2016/2017 - Updates

MATOKEO DARASA LA NNE 2017 - Yametoka!

MATOKEO DARASA LA NNE 2016/2017

MATOKEO DARASA LA NNE 2016/2017

Matokeo std iv 2016/2017, STD IV Examination Results 2016/2017 - Updates

 

matokeo ya darasa la nne mwaka 2016/2017 -SFNA-2016/2017

 

PATA MATOKEO YA DARASA LA NNE 2017/2018

 

Pata Matokeo Yote Ya Mitihani - One Spot For All The Examination Results - New Updates (Kidato cha Pili na Darasa la Nne)

 

Matokeo Ya DARASA la NNE 2017 - SFNA 2017 ASSESSMENT RESULTS - NECTA Darasa la nne 2017 - New Updates!


RATIBA YA DARASA LA NNE 2017 - NECTA - New Updates

Matokeo Ya Darasa la Nne 2016/2017 - SFNA 2016/2017 ASSESSMENT RESULTS - NECTA Tanzania

 

Matokeo ya Darasa la Nne 2015 - SFNA-2015 ASSESSMENT RESULTS - NECTA 

                                OR

Matokeo ya Darasa la Nne 2015 - SFNA-2015 ASSESSMENT RESULTS - NECTA 

 

Matokeo Darasa la Nne 2014 - SFNA-2014 ASSESSMENT RESULTS - NECTA - updates coming soon

 

Matokeo Darasa la Nne 2013 - SFNA-2013 ASSESSMENT RESULTS - NECTA - updates coming soon

 

WE WISH YOU A MERRY XMASS! - DARASA LA NNE 2016

 

Pata Matokeo ya DARASA la NNE miaka yote:-  

Matokeo la nne 2016, 

Matokeo la nne 2015.

 

HOW TO PREPARE PSYCHOLOGICALLY FOR EXAMS

 
OTHER EXAMINATION RESULTS - NECTA
MATOKEO DARASA LA NNE 2017
MATOKEO DARASA LA NNE

MATOKEO YA MITIHANI DARASA LA NNE - NECTA

MATOKEO YA MITIHANI DARASA LA SABA - NECTA

MATOKEO YA MITIHANI KIDATO CHA PILI - NECTA

MATOKEO YA MITIHANI KIDATO CHA NNE - NECTA

MATOKEO YA MITIHANI KIDATO CHA SITA  - NECTA


MATOKEO YA UALIMU NECTA - NECTA

 

MATOKEO ya DARASA LA NNE 2016/2017 yametoka.

 

9 TIPS ON HOW TO SUCCEED IN YOUR EXAMS


THE BANNER OF SUCCESS - No one can write on your banner.

HOW TO READ AND STUDY TEXTBOOKS

 

Pata Matokeo ya DARASA la NNE 2016/2017, Matokeo la NNE 2016/2017 - Coming Soon! 



LEARNING AND STUDYING SKILLS


MATOKEO DARASA LA NNE 2016/2017 YANAPATIKANA HAPA!, LA NNE 2016/2017, DARASA LA NNE TANZANIA.


MAKUNDI YA NAMBA


i) NAMBA ZA KUHESABIA

Namba zinazotumika kuhesabu zinazoanza Na. (1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11…. ) Namba hizi pia huitwa namba asilia.


 ii) NAMBA NZIMA

       Ni kundi la namba za kuhesabia ambazo huanzia na sifuri       (0,1,2,3,4,5,6, 7, 8, 9, 10…..)

       Tofauti ya namba nzima na namba za kuhesabia ni kwamba namba  nzima huanzia sifuri na namba za kuhesabia huanza na moja.


iii) NAMBA SHUFWA


Ni kundi la namba za kuhesabia ambazo hugawanyika kwa mbili bila baki.

Matokeo ya Darasa la Nne 2017

Matokeo ya Darasa la Nne 2017

Namba hizi huanza na mbili, (2,4,6,8,10,12…..)


 iv) NAMBA WITIRI

Ni kundi la namba za kuhesabia ambazo hazigawanyiki kwa mbili bila baki. Namba hizi huanza na moja (1,3,5,7,9,11,13,15 ...)


 v) NAMBA TASA

Ni kundi la namba za kuhesabia ambazo hugawanyika kwa moja na kwa yenyewe. Namba hizi zina sifa ya kuwa na vigawo viwili tu. Namba hizi huanza na mbili. (2,3,5,7,11,13,17,19,23…)

  Namba mbili (2) ni tasa kwa sifa ya kuwa na vigawo viwili tu na pia ni namba shufwa kwa sifa ya kugawanyika kwa mbili. Namba tasa zote ni namba Witiri isipokuwa namba 2.


(vi) NAMBA MRABA

     Ni kundi la namba za kuhesabia ambazo hutokana na kipeo cha pili cha namba yoyote mfano   

     12=1, 22=4, 32 =9, 42=16, 52=25

     Hivyo namba (1, 4, 9, 16, 25,….n2) ni namba mraba.


vii) NAMBA KAMILI

Ni kundi la namba za kuhesabia zenye alama hasi (-) na chanya (+)

 Mfano. (…..-3, -2, -1, 0, +1, +2, +3, +4….)

Namba zenye alama ya kutoa (-) mwanzoni ni hasi Mf. (-3, -2, -1, ..)

Namba zenye alama ya kujumlisha (+) mwanzoni ni chanya. Mf. (+1, +2, +3, …).

Namba zote zisizo na alama ya toa (-) mwanzo ni namba chanya hata kama hazina alama ya kujumlisha mwanzoni Mf. (1,2,3,4… 

Matokeo ya NECTA DARASA la NNE 2016/2017.

STD IV NECTA Results 2016/2017, MATOKEO LA NNE.

STD IV Results 2016/2017 - NECTA Tanzania.