Fomr Five Selection 2017/2018 PUBLIC NOTICE- To all the students who have been selected to join various tertiary schools

Form Five Selection 2017/2018 - PUBLIC NOTICE

NACTE SELECTION FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018 - New Updates

 

Smartphone Photography basics


The Secret to having a Successful learning experience
In many schools and colleges, people have this idea that successful students are intelligent, and students who struggle are not. This idea is wrong. There’s a lot more to school success than being intelligent.

Take math homework, for example. Maybe you’re a math genius, even the greatest genius of all time. That’s great, but if you don’t do the assignment, you’ll get a zero. And doing it requires much more than knowing math. You have to plan ahead and make time. You have to turn off your screens, get to work, stay focused, not space out, work at the right speed, and more.

It takes certain skills to do these things. We call them “attention skills.” Others call them “executive functions,” “self-directing,” or “self-regulation.” It doesn’t really matter what you call them. What matters is that you use them.

Plenty of evidence shows that attention skills have more influence on school success and life success than intelligence does. That means that if you want to do well in school and beyond (and who doesn’t?), controlling your attention is essential.

Even more evidence shows that not controlling attention is the number one cause of poor school performance. So if you’re doing poorly in school, or if you’re just not doing as well as you’d like, it doesn’t mean you’re not smart. Much more likely is that you’re not applying attention well.

PUBLIC NOTICE- To all the students who have been selected to join various tertiary schools and the general public

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UCHAGUZI NA UPANGAJI WA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI KWA MWAKA 2017
1.0  UTANGULIZI
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) kwa kushirikiana na  Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekamilisha  zoezi la uchaguzi na upangaji wa wanafunzi wa kujiunga na masomo  ya Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi vya Serikali kwa mwaka 2017 ambao walihitimu Kidato cha Nne mwaka 2016.
2.0  MATOKEO YA UFAULU KWA UJUMLA  
Jumla ya watahiniwa wa shule 349,524 wakiwemo wasichana 178,775 sawa na asilimia 51.1 na wavulana 170,749 sawa na asilimia 48.9 walifanya mtihani wa kumaliza Kidato cha Nne mwaka 2016. Watahiniwa wa kujitegemea waliofanya mtihani huo mwaka 2016 walikuwa 47,751 wakiwemo wasichana 24,587 sawa na asilimia 51.5 na wavulana 23,164 sawa na asilimia  48.5.

Watahiniwa  waliofaulu kuanzia daraja la kwanza hadi la tatu ni 96,018 sawa na asilimia 27.60 ya watahiniwa waliofanya mtihani Tanzania Bara.  Hivyo ufaulu katika mwaka 2016 uliongezeka kwa asilimia 3.15 ikilinganishwa na ufaulu wa mwaka 2015.  
3.0 TARATIBU ZA UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI KWA MWAKA 2017
Kwa mujibu wa mwongozo wa uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na Kidato cha Tano, mwanafunzi anayeomba kuchaguliwa kuendelea na Elimu ya Sekondari ya Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi hulazimika kujaza fomu ya uchaguzi  Selform  ambayo ndiyo fomu rasmi ya maombi ya kuchaguliwa. Kwa kutumia fomu hiyo, mwanafunzi hujaza machaguo  matano ya tahasusi (Combinations) za masomo anayotaka kusoma na Shule anayoipenda kujiunga nayo kwa kila chaguo.
Kwa kuzingatia utaratibu huo, Mfumo wa kieletroniki wa Uchaguzi hutumika kumpanga mwanafunzi katika machaguo yake ya  masomo na Shule kwa kuanzia na chaguo la kwanza hadi la tano kulingana na kiwango cha ufaulu wa mwanafunzi. Mfumo humpangia mwanafunzi chaguo la tahasusi aliyofaulu zaidi kuliko machaguo mengine.
Kwa mwaka huu 2017 Uchaguzi na upangaji wa wanafunzi wa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi umezingatia mwongozo wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia  wa tarehe 15 Mei, 2017. Mwongozo huu unaelekeza kwamba, kigezo cha mwanafunzi kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi ni;
i)  AAA hadi CCD kama cut off point kwenye masomo ya tahasusi
ii)  Credit 3 na pointi zisizopungua 25 kwenye Daraja,
iii)  Machaguo yaliyojazwa na mwanafunzi kwenye selform.
iv) Nafasi zilizopo katika Shule husika

Napenda kusisitiza kwamba, vigezo hivi ndivyo vinavyotumika kwa mwanafunzi kujiunga Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka huu. Nia ni kuinua kiwango cha Elimu na Ujuzi kwa Elimu ya Juu Nchini.
4.0  WANAFUNZI  WENYE SIFA ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO MWAKA 2017
Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha Tano mwaka 2017 wanatoka kwenye  Shule za Serikali na zisizo za Serikali ambapo Shule 351 zikiwemo shule 17 mpya zimepangiwa wanafunzi.Kati ya wanafunzi 96,018 ni wanafunzi  93,019 ndio wenye  sifa za kuchaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa kuwa wamefaulu vigezo vyote vya msingi kama nilivyoainisha hapo juu.  Kati ya hao, Wanafunzi 92,998 ni wa Shule (School Candidates) na Wanafunzi  21 walisoma chini ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima.
5.0  TAREHE YA KURIPOTI WANAFUNZI KATIKA SHULE WALIZOPANGIWA
Muhula wa kwanza kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano kwa mwaka 2017, utaanza  tarehe 17 Julai 2017 lakini kwa wanafunzi wanaongia Kidato cha Sita watafungua Shule tarehe 3/7/2017 kama ilivyokuwa imepangwa.  Kwa kuwa upangaji wa wanafunzi wanaoingia  Kidato cha Tano kwa mwaka 2017 umezingatia machaguo ya wanafunzi wenyewe na nafasi zilizopo katika Shule husika, hakutakuwa na fursa ya kufanya mabadiliko yoyote ya Shule.

Nitumie  nafasi hii, kuwaagiza wanafunzi wote kuripoti katika Shule walizopangwa kwa wakati. Endapo mwanafunzi atachelewa kuripoti kwa zaidi ya siku 14 kuanzia tarehe ya kufungua Shule , nafasi yake   itachukuliwa na wanafunzi wengine.
6.0  PONGEZI NA SHUKRANI
Napenda kuwapongeza walimu wote kwa juhudi walizozifanya katika ufundishaji na kuwezesha wanafunzi kufaulu vizuri.  Hii imetokana na ushirikiano wa walimu, wazazi na walezi katika kuwapatia wanafunzi hao malezi bora.
Aidha, napenda kuwapongeza wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi, niwahimize kuendelea kuongeza bidii katika kujifunza ili waweze kufanikiwa kujiunga na mafunzo ya Elimu ya Juu baada ya kuhitimu Kidato cha Sita.

Nawashukuru sana Wadau wote wa Elimu kwa maana ya Viongozi na watendaji wa Mikoa, Wilaya na Halmashauri pamoja na wananchi kwa ujumla kwa kushiriki kikamilifu kuimarisha Miundombinu ya Shule

ikiwemo maabara na majengo mengine muhimu yaliyowezesha Shule kupokea wanafunzi wa Kidato cha Tano kwa mara ya kwanza.

Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2017 inapatikana kwenye tovuti ya OR-TAMISEMI ya:  www.tamisemi.go.tz  &  www.moe.go.tz

George B.  Simbachawene (Mb)
WAZIRI WA NCHI, OR -TAMISEMI.
The Secret to having a Successful Life
In other words, the Universe will provide what we hold in our minds.  It doesn’t make a distinction between destructive thoughts and constructive thoughts.  If we hold thoughts of poverty in our mind, the universe will return poverty to us.  If we  hold thoughts of wealth in our mind, the universe will return wealth to us. 

PAST PAPERS FOR RIVISION / Form two past papers, Form four past paper, Form six past papers (Rivision Made Simple)

 

Message of hope to young people - Once you begin that walk, others will find you and walk with you...