RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2018 - PSLE TIMETABLE 2018

PSLE 2018 EXAM TIMETABLE - TIMETABLE DARASA LA SABA 2018

NECTA PSLE 2019 TIMETABLE.pdf>>RATIBA YA DARASA LA SABA 2019>>PSLE NECTA Results 2019

 

Standard Seven past papers  (PSLE) - NECTA - Past papers za darasa la saba - New Updates

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA

RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI

Matokeo la saba 2019  - psle results 2019

PRIMARY SCHOOL LEAVING EXAMINATION TIMETABLE  SEPTEMBA 2018

TAREHE NA SIKU  MUDA (SAA) NAMBA MFICHO     SOMO
05.09.2018
JUMATANO
2:00-3:3001 KISWAHILI
3:30-4:30
MAPUMZIKO
4:30-6:3004
04E
HISABATI
MATHEMATICS
6:30-8:30
MAPUMZIKO
8:30-10:0002 ENGLISH LANGUAGE




06.09.2018
ALHAMISI
2:00-3:3005
05E
SAYANSI
SCIENCE
3:30-4:30
MAPUMZIKO
4:30-6:0003
03E
 MAARIFA YA JAMII
 SOCIAL STUDIES

TOP 10 SECONDARY SCHOOLS IN TANZANIA 2019 - Shule bora za sokondari.

PSLE 2018 EXAM TIMETABLE - RATIBA DARASA LA SABA 2018

MAELEKEZO MUHIMU
  1. Hakikisha kuwa unayo Ratiba ya Mtihani ya mwaka 2018 iliyoandaliwa na Baraza la Mitihani la Tanzania.
  2. Kabla ya kufungua bahasha yoyote yenye maswali ya Mtihani,  hakikisha kwamba unasoma jina la somo juu ya bahasha husika na kujihakikishia kuwa somo hilo ndilo linalostahili kufanyika wakati huo kulingana na Ratiba ya Mtihani.
  3. Endapo utata utajitokeza kati ya maelekezo yaliyomo ndani ya Karatasi ya Mtihani na Ratiba ya Mtihani, maelekezo yaliyomo katika karatasi ya Mtihani husika ndiyo yatakayofuatwa.
  4. Watahiniwa WASIOONA na wale wenye UONI HAFIFU waongezewe MUDA WA ZIADA WA DAKIKA 10 KWA KILA SAA kwa Mtihani wa Kiswahili, English Language, Maarifa ya Jamii na Sayansi.
  5. Watahiniwa WASIOONA na wale wenye UONI HAFIFU waongezewe MUDA WA ZIADA WA DAKIKA 20 KWA KILA SAA kwa mtihani wa Hisabati.
  6. Msimamizi wa watahiniwa WASIOONA awe mtaalamu mwaminifu aliye na uwezo wa kusoma maandishi na alama za ‘Braille’.
  7. Watahiniwa wenye UONI HAFIFU wapewe karatasi za mtihani na za kujibia zenye maandishi yaliyokuzwa, zilizoandaliwa na Baraza la Mitihani la Tanzania kwa matumizi yao.
  8. Karatasi zenye majibu ya watahiniwa wenye UONI HAFIFU zifungwe kwenye bahasha za pekee. Zisichanganywe na karatasi za watahiniwa wenye Uoni wa kawaida.
  9. Watahiniwa waelekezwe;         
  • Kuingia ndani ya chumba cha mtihani nusu saa kabla ya muda  wa mtihani na watakaochelewa kwa zaidi ya nusu saa baada ya mtihani kuanza hawataruhusiwa.
  • Kufuata maelekezo yote yatakayotolewa na wasimamizi wa mtihani.
  • Kuandika namba ya mtihani  kwa usahihi.
  • Kutofanya mawasiliano ya maneno au kwa njia yoyote baina ya watahiniwa. Ikiwa mtahiniwa ana tatizo anatakiwa kunyosha mkono ili kuomba msaada kwa msimamizi wa mtihani.
  • Wakijihusisha katika udanganyifu watafutiwa matokeo yao ya mtihani.

psle results 2019 - matokeo la saba 2019